Kwanza mwanadamu anayeomba Mwenyezi Mungu mmoja wa pekee bila kukata tamaa hakosi majibu na yakikosa kuna heri zaidi atapata baadaye maishani mwake. Usiache kushukuru na kuomba kwani uko hai na maisha ni marefu kuliko umri.
Dua yoyote nzuri ni kuomba heri na baraka katika dunia hii na msamaha wa Mwenyezi Mungu kwani kila mwanadamu anayo madhaifu yake. Dua hii hapa ni kuomba heri duniani na Akhera na kusamehewa
Anza hivi:
“Audhubillah minasheitwani rajiim, Bismillah Rahman Rahiim, Soma suratil Alhamdu yote yaani Alhamdulillah rabil a’rahmiina, arrahman rahiim, malik yaumiddiin iyyakana abudu waiyyakana sitaii’nu ihdina siratwalimustaqiima siratwa lladhiyna an’amta’alahiym ghairil mag dhuubi aleiym wala dhwalliin”
Baada ya hapo
Mswalie mtume hivi: Allahumma swali a’la Muhammad wa a’la alihi Muhammad x11
Baada ya hapo, Muombe msamaha Mwenyezi Mungu kwani kuna mengi tunakosea bila kujua au kwa kujua
Astaghfirullah wa atubu ileiy x 100
Sasa Omba Dua yako kwa lugha yoyote unayamudu ukiwa umetulia na unamuomba yule wa pekee mwenye uwezo wa kila kitu.
Mwisho mswalie mtume na Waombee wazazi wako dua
Unaweza kuomba dua hii
Rabanna atina fiy dun’ya hasanat, wafil akherat hasanat, ina maana unaomba mazuri duniani na pia mazuri uko akhera
Maelezo zaidi
WhatsApp: +255621870342, Simu : +255762053174 WhatsApp pia
Kama unasumbuliwa na kijicho, soma dua kwa makini na tumia dawa hizi